Home > Terms > Swahili (SW) > huduma

huduma

huduma au kazi ya utakaso inayofanywa kwa mahubiri ya neno na maadhimisho ya sakramenti na wale wa Daraja (893, 1536), au katika hali ya kuamua, kwa walei (903). Agano Jipya linazungumzia aina za huduma katika Kanisa; Kristo mwenyewe ndiye chanzo cha huduma katika kanisa (873-874). Maaskofu, makuhani, na mashemasi wametakaswa kuwa wahudumu katika Kanisa (1548).

0
  • Part of Speech: noun
  • Synonym(s):
  • Blossary:
  • Industry/Domain: Religion
  • Category: Catholic church
  • Company:
  • Product:
  • Acronym-Abbreviation:
Collect to Blossary

Member comments

You have to log in to post to discussions.

Terms in the News

Featured Terms

edithrono
  • 0

    Terms

  • 0

    Blossaries

  • 1

    Followers

Industry/Domain: Festivals Category: Thanksgiving

Sikukuu ya kutoa shukrani

Sikukuu ya kutoa shukrani ni kauli maarufu inayotumiwa na watu kuadhimisha likizo ya Sikukuu ya Shukrani. Shukrani ni sherehe hasa katika United ...