Home > Terms > Swahili (SW) > anemia

anemia

Kupungua kwa idadi ya seli nyekundu za damu, kwa kawaida kutokana na uhaba wa madini ya iron. hali, inayogunduliwa baada ya uchunguzi wa damu, husababisha dalili kama vile uchovu, unyonge, kuishiwa na pumzi, au kuzirai. Kula chakula kilicho na chuma na kuongeza kuchukua chuma katika nusu ya pili ya mimba ni muhimu kuweka juu na haja ya kuongezeka kwa seli nyekundu za damu.

0
Collect to Blossary

Member comments

You have to log in to post to discussions.

Terms in the News

Featured Terms

edithrono
  • 0

    Terms

  • 0

    Blossaries

  • 1

    Followers

Industry/Domain: Festivals Category:

Eid al-fitr

Sikukuu ya Waislamu wakuthibitisha mwisho wa Ramadan, Waislamu hawasherehekei mwisho wa kufunga peke yake bali pia kumshukuru Mungu kwa usaidizi na ...

Featured blossaries

Interpreter News

Category: Languages   1 12 Terms

Causes of Inflation

Category: Business   2 3 Terms